Friday 27 February 2015

Mkurugenzi wa TAMWA akabidhiwa Tuzo ya Kampeni ya Kutokomezaji Ndoa za Utotoni






Picha ya kwanza, Balozi wa Canada nchini Tanzania, Alexandre Lévêque, akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Valerie Msoka, tuzo ya kwanza ya kampeni ya kupinga ndoa za utotoni. Picha ya pili ni zawadi ya maua kutoka kwa wafanyakazi wa TAMWA ambayo ilikabidhiwa na Vicotoria Rowan. Picha nyingine ni washiriki katika sherehe zilizofanyika Februari 24, 2015 katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. picha na https://hivisasa.co.tz