Saturday 16 July 2016

Friday 1 July 2016

MKUTANO WA BUNGE LA KUMI NA MOJA WAAHIRISHWA

Mkutano wa 3 wa Bunge la kumi na moja la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania uliahirishwa Juni 30, 2016. Akizungumza katika hitimisho hilo, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alizitaka Halmashauri zote nchini kutumia mashine za elektroniki katika kukusanya mapato katika mwaka wa fedha unaoanza Julai mosi 2016.


TANZANIA YAPATA WAKUU WAPYA WA WILAYA

Juni 26, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli aliteua wakuu wa wilaya watakaosaidia katika kulisukuma gurudumu la maendeleo katika uongozi wa awamu ya tano. BONYA HAPA kupata majina ya wakuu wa wilaya.