Thursday 9 June 2016

BAJETI 2016/2017 YATANGAZWA

Jana Juni 8, 2016, Waziri wa Fedha na Mipango, Mh. Dkt. Philip Isdor Mpango, alisoma bajeti ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 2016/2017 ambayo imeonyesha kuweka kipaumbele kwenye kukuza sekta ya viwanda. Bovya maandishi ya herufi kubwa kusoma bajeti nzima kutoka tovuti ya serikali: BAJETI YA TANZANIA 2016/2017

Waziri wa Fedha na Mipango, Mh. Dkt. Pius Mpango


No comments: