Friday 29 August 2014

Mkutano wa Halmashauri ya Wilaya na Asasi Zisizo za Kiserikali Mafia

 Mkurugenzi wa Wilaya ya Mafia akifungua mkutano
 Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii akizungumza wakati wa mkutano
 Mratibu wa Mradi wa WWF Mafia, Paul Kugopya akitoa mada wakati wa mkutano
 Mratibu wa Pamoja Tuwalee, Mariam Hamdani akitoa mada wakati wa mkutano
 Washiriki wakifuatilia mada wakati wa mkutano
Sekretarieti ikichukua kumbukumbu wakati wa mkutano uliofanyika leo - 29/08/2014

No comments: