Friday 1 July 2016

TANZANIA YAPATA WAKUU WAPYA WA WILAYA

Juni 26, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli aliteua wakuu wa wilaya watakaosaidia katika kulisukuma gurudumu la maendeleo katika uongozi wa awamu ya tano. BONYA HAPA kupata majina ya wakuu wa wilaya.


No comments: