Friday 1 July 2016

MKUTANO WA BUNGE LA KUMI NA MOJA WAAHIRISHWA

Mkutano wa 3 wa Bunge la kumi na moja la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania uliahirishwa Juni 30, 2016. Akizungumza katika hitimisho hilo, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alizitaka Halmashauri zote nchini kutumia mashine za elektroniki katika kukusanya mapato katika mwaka wa fedha unaoanza Julai mosi 2016.


No comments: