Thursday 11 August 2016

MATOKEO YA DARASA LA NNE 2015


Kwa mara ya kwanza, serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa matokeo ya darasa la nne na kuonekana waziwazi kwenye tovuti. Mzazi au mlezi akitaka jina la mtoto wake analipata kwa urahisi zaidi. Hii ni hatua bora kabisa katika upashanaji wa habari, hasa habari muhimu kwa wananchi unaofanywa na serikali yetu. Hii inaondoa pia udanganyifu ambao wazazi wasiokuwa na elimu wamekuwa wakiupata kwa watoto wao kuwadanganya matokeo.

HAYA NDIYO MATOKEO YA DARASA LA NNE 2015. BONYEZA HAPAPermalink
 KUYAONA

No comments: