Thursday, 10 November 2016
TRUMP Rais Mpya wa Marekani
Jana, Novemba 9, 2016, Bilionea Donald Trump wa chama cha Republican alifanikiwa kushinda uchaguzi na kuwa Rais wa 45 wa taifa kubwa duniani la Marekani, akimshinda Hillary Clinton kwa kura za wajumbe (Electoral Votes) 276 kwa 218.
Donald Trump, kwa mujibu wa Katiba ya Marekani anatarajiwa kuapishwa rasmi Januari 20, 2017 na kumrithi Baraka Obama wa Chama cha Democrat.
Thursday, 27 October 2016
Thursday, 11 August 2016
MATOKEO YA DARASA LA NNE 2015
Kwa mara ya kwanza, serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa matokeo ya darasa la nne na kuonekana waziwazi kwenye tovuti. Mzazi au mlezi akitaka jina la mtoto wake analipata kwa urahisi zaidi. Hii ni hatua bora kabisa katika upashanaji wa habari, hasa habari muhimu kwa wananchi unaofanywa na serikali yetu. Hii inaondoa pia udanganyifu ambao wazazi wasiokuwa na elimu wamekuwa wakiupata kwa watoto wao kuwadanganya matokeo.
HAYA NDIYO MATOKEO YA DARASA LA NNE 2015. BONYEZA HAPAPermalink
KUYAONA
MATOKEO YA DARASA LA NNE na SABA 2015
Kwa mara ya kwanza, serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa matokeo ya darasa la nne na kuonekana waziwazi kwenye tovuti. Mzazi au mlezi akitaka jina la mtoto wake analipata kwa urahisi zaidi. Hii ni hatua bora kabisa katika upashanaji wa habari, hasa habari muhimu kwa wananchi unaofanywa na serikali yetu. Hii inaondoa pia udanganyifu ambao wazazi wasiokuwa na elimu wamekuwa wakiupata kwa watoto wao kuwadanganya matokeo. Pia matokeo ya darasa la SABA yalitangazwa kwa mtindo uleule pamoja na kwamba siyo mara ya kwanza kufanya hivyo. Naipongeza Wizara ya Elimu kwa kutambua umuhimu wa mtandao katika kuwasiliana na wananchi
HAYA NDIYO MATOKEO YA DARASA LA NNE 2015. BONYEZA HAPA KUONA MATOKEO YA DARASA LA NNE. NA BONYEZA HAPA KUONA MATOKEO YA DARASA LA SABA
Saturday, 16 July 2016
MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YATANGAZWA
BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA JANA, JULAI 15, 2016 LILITANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA.
BOVYA HAPA KUYAONA
BOVYA HAPA KUYAONA
Friday, 1 July 2016
MKUTANO WA BUNGE LA KUMI NA MOJA WAAHIRISHWA
Mkutano wa 3 wa Bunge la kumi na moja la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania uliahirishwa Juni 30, 2016. Akizungumza katika hitimisho hilo, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alizitaka Halmashauri zote nchini kutumia mashine za elektroniki katika kukusanya mapato katika mwaka wa fedha unaoanza Julai mosi 2016.
TANZANIA YAPATA WAKUU WAPYA WA WILAYA
Juni 26, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli aliteua wakuu wa wilaya watakaosaidia katika kulisukuma gurudumu la maendeleo katika uongozi wa awamu ya tano. BONYA HAPA kupata majina ya wakuu wa wilaya.
Tuesday, 14 June 2016
NampendaNitamlinda: African Child's Day, June 16 2016
For more information, visit Tanzania Media Women's Association (TAMWA) social media campaign #NampendaNitamlinda
Thursday, 9 June 2016
BAJETI 2016/2017 YATANGAZWA
Jana Juni 8, 2016, Waziri wa Fedha na Mipango, Mh. Dkt. Philip Isdor Mpango, alisoma bajeti ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 2016/2017 ambayo imeonyesha kuweka kipaumbele kwenye kukuza sekta ya viwanda. Bovya maandishi ya herufi kubwa kusoma bajeti nzima kutoka tovuti ya serikali: BAJETI YA TANZANIA 2016/2017
Waziri wa Fedha na Mipango, Mh. Dkt. Pius Mpango
Tuesday, 7 June 2016
Subscribe to:
Posts (Atom)